KENYA AIRWAYS YAZINDUA MFULULIZO WA MICHUANO YA GOLF 2011 TANZANIA.

Meneja Mkazi wa Shirika la Ndege la KENYA AIRWAYS Bi. Lucie Malu (kushoto) akitangaza kuzindua michuano ya KQ Golf Safari Dar es Salaam ambayo inalenga kuendeleza mchezo huo baina ya wachezaji wa Tanzania na Kenya na kuifanya kuwa ya Kimataifa.Michuano hiyo itashirikisha wachezaji zaidi ya 1000 Kutoka nchi mbalimbali yatakayojumuisha mashindano 35 yatakayojumuisha nchi 17 kwa lengo la kukuza mchezo huo katika kanda ya Afrika Mashariki. Kulia ni Nahodha wa Timu ya Golf Tanzania Joseph Tango.

 
 
 

About the author

More posts by | Visit the site of Admin

 

 

 

Add a comment

required

required

optional