-
-
Mstahiki Meya Jerry Silaa akabidhi zawadi za mwaka mpya kwa kituo cha Tushikamane Children Care Trust Fund.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akikabidhi Mbuzi kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Tushikamane Children Care Trust Fund Bw. Gratho Messy Mbele (wa [...]
-
Most Expensive Hotel Rooms in The World..!!
1. Royal Penthouse Suite, President Wilson Hotel, Geneva Nightly Rate: $53,000 The Imperial Suite, which is actually an entire top floor of the hotel, is [...]
-
Jamii ya Tanzania yatakiwa kuzingatia amani haswa Zanzibar kufutia matukio hivi karibuni ya viongozi wa dini kushambuliwa.
Kiongozi wa Parokia ya Mpendae Padre Ambrose Mkenda akimuelezea Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif mkasa uliomkumba baada ya kushambuliwa kwa risasi [...]
-
Digitali hiyooo Dar… zimebaki saa chache, wapi kig’amuzi Mwana Daresalama??
Mkoa wa Dar es Salaam leo saa 6 usiku unakuwa wa kwanza kuzimiwa mitambo ya analojia ya utangazaji wa televisheni kwa ajili ya kupokea mfumo [...]
-
Rais Jakaya Kikwete atangaza matokeo ya sensa, Watanzania waongezeka kutoka watu milioni 34.4 hadi 44.9.
Rais Jakaya Kikwete atangaza matokeo ya sensa ya watu na makazi, Watanzania waongezeka kutoka watu milioni 34.4 hadi kufikia watu milioni 44.9. Tanzania bara kuna [...]
-
Ten youngest power women in Africa.
Recently the African edition of Forbes Magazine started recognising exemplary business leaders in Africa. In August, Forbes published its 2012 annual list of the World’s [...]
-
Mwili wa Binti aliyebakwa wachomwa India.
Mwili wa msichana aliyefariki dunia baada ya kubakwa kwenye basi nchini India umechomwa katika maziko yaliyohusisha watu wachache. Mwili wa binti huyo uliwasili mjini New [...]
-
Wawili hatiani kwa kumpiga risasi paroko.
Watu wawili wanashikiliwa na makachero wa Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumshambulia kwa risasi Padre Ambrose Mkenda wa Parokia ya Mpendae visiwani Zanzibar. Naibu [...]
-
Hillary Clinton alazwa hospitali.
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton amelazwa hospitali kutokana na kuganda kwa damu baada ya kuumia kichwani hivi karibuni. Wizara ya mambo [...]
-
Kim Kardashian is pregnant.
Kanye West announced that his girlfriend Kim Kardashian is pregnant at the rapper’s current performance at Revel Resort in Atlantic City, New Jersey … and [...]
-
Ijumaa ya mwisho kwa Mwaka 2012 SKYLIGHT BAND yavumbua kipaji kipya ni mshindi wa pili wa EBSS 2912 Salma Yusuf.
Sam Machozi a..k.a Sam Mapenzi akiongozaji waimbaji wenzake Aneth Kushaba (kushoto) sambamba na Sony Masamba wakitoa burudani ya aina yake Ijumaa ya mwisho kwa mwaka [...]
-
Mh. Waziri Mkuu Pinda amjulia hali Baba yake mzazi aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili – Moi.
Mh.Waziri Mkuu Mizengo Pinda amjulia hali Baba yake mzazi Mzee Savere Kayanza Pinda ambaye amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Moi Mzee Mizengo [...]
-
Singida Mjini Miaka ya 1960.
Mji wa Singida miaka ya 1960. (Picha na ziro99 blog Via Wavuti).








Recent Comments