MAADHIMISHO YA 24 YA WIKI YA MAJI KITAIFA MWAKA HUU KUFANYIKA MKOANI IRINGA.

 Naibu waziri wa Maji Mhandisi Gerson Lwenge akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya 24 ya wiki ya maji ambayo kitaifa yatafanyika mkoani Iringa  kuanzia tarehe 16-22 mwezi huu . Wadhamini wa Maadhimisho  hayo ni Kampuni ya Bia ya Serengeti na ITV na Redio One huku Kaulimbiu  ikiwa  ni Maji na Usalama  wa Chakula.

Naibu waziri wa Maji Mhandisi Gerson Lwenge (katikati) akimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi huduma za maji vijijini ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya kitaifa ya maandalizi ya maadhimisho ya 24 ya wiki ya maji Mhandisi Amani Mafuru mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa waandishi wa habari huku  Katibu Mkuu wa wizara hiyo Mhandisi Christopher Sayi akifuatilia kwa ukaribu mazungumzo hayo. Maadhimisho hayo yatafanyika kitaifa mkoani Iringa  kuanzia tarehe 16-22 mwezi huu huku Kaulimbiu  ikiwa  ni Maji na Usalama  wa Chakula.(Picha na Anna Nkinda-MAELEZO).

 
 
 

About the author

More posts by | Visit the site of Admin

 

 

 

Add a comment

required

required

optional