BWANA WA VITA WA KONGO THOMAS LUBANGA AHUKUMIWA MIAKA 14 JELA.

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imemhukumu Bwana wa vita katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Thomas Lubanga adhabu ya kifungo cha miaka 14 jela.

Mahakama hiyo imetia hatiani kwa kuhusika kwake katika kutumia watoto kama askari katika jeshi la uasi katika miaka ya 2002 na 2003.

Hata hivyo Lubanga alikana tuhuma hizo na kusema hakuwahi kutumia watoto katika jeshi la uasi.

Lakini katika uamuzi wa pamoja, Majaji waliokuwa wakisikiliza kesi yake walise Lunga anapaswa kuwajibika kwa tuhuma hizo.

 
 
 

About the author

More posts by | Visit the site of Admin

 

 

 

Add a comment

required

required

optional