HAWA NDIO WALIOIBUKA KIDEDEA NAFASI YA UJUMBE WILAYA KUTOKA KATA YA KIVUKONI.

Baada ya kinyang’any’iro cha uchaguzi wa Mkutano Mkuu Kata ya Kivukoni wilayani Ilala jijini Dar es Salaam uliofanyika katika viwanja vya Karimjee, pichani ndio walioibuka mabingwa na kuchaguliwa kuwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya.  Kushoto ni Ndugu Adriano Richard Haonga na kulia ni Ndugu Zulfikar Ali Mzige.

 
 
 

About the author

More posts by | Visit the site of Admin

 

1 Comment

 

 

Add a comment

required

required

optional