Wapendwa wasomaji wa Blog hii, nawasalimu kwa upendo.
Nikiwa mdau wa kazi za Utalii Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla, nawakaribisha kutembelea mbuga za wanyama, kupanda mlima Kilimanjaro, na kutembelea maeneo ya mwambao wa Pwani (Beach Holidays), Honey Moon, picnic za ufukweni, kusafiri kwa ndege, barabara, n.k. kwa bei nafuu.
Tunawaachia watalii wageni peke yao kufaidi uzuri wa asili wa nchi yetu na nchi zingine za Afrika, sisi wenyewe hatuzifaidi.
Furahia maisha na familia yako, marafiki, ndugu na jamaa kwa gharama zilizo kwenye uwezo wako.
Kwa yeyote atakayekuwa tayari, awasiliane nasi ili tumwandalie kifurushi chake. Kwa mfano, unaweza ukasema, “mimi ninataka kufurahi kwa siku 5, na napendelea kwenda kuona makumbusho na kupata upepo wa pwani. Tutakuwa watu wanne na watoto wawili. Tungependa kulala kwenye hotel za bei nafuu (au za hali ya juu). Iwe kuanzia tarehe…..” Hapo utakuwa umetupa mwangaza wa maeneo ambayo mngependa kutembelea na uwezo mlionao kifedha. Tutakuandalia kifurushi chako, chenye aina mbili au tatu ili uchague kitakachokufaa zaidi. Kisha tunakupa utaratibu kamili. OMBI: Ututumie mpango wako angalau wiki 3 kabla ya safari, ili tuweze kuhakikisha kupatikana na booking za malazi na usafiri mzuri bila matatizo.
Tuandikie kwa email ili tupate haraka kama ifuatavyo:-
Meneja,
KSTT Ltd,
P.O.Box.10941, Dar es Salaam.
Email: kilimanjaroserengeti@yahoo.com
Tel: +255 713 520106
+255 754 264906
+255 787 264906
Moshi: Tel: +255 715 208283
+255 755 208283
KARIBUNI SANA.
Kwakweli Miliard na kupa pole sana kwayaliyo wahi kuKUkuta ila zidi kuyachukulia kama changa moto na pia ninaona nami nibora nifunguke na huu ndio ukweli wangu;miongoni mwa watangazaji wananivutia kwenye fani hii ni wewe na ninaamini SIKU MOJA NITAKUFIKIA
It’s a fact: more people find out about your business on Facebook or Twitter than on search engines. Making these sites work maybe tricky for you, but it’s business as usual for us. Let us improve your visibility and enhance your image. It’s part of our complete Internet Marketing package. We’ll be more than your friends — we’ll be your partners.
MTANDAO WA KITANZANIA KUBADILI MATUMIZI YA MITANDAO
Kufuatia mitandao ya kijamii ya Kimaghaibi kutozingatia usalama wa masuala binafsi ya mtumiaji mataifa mbalimbali yamekuwa yakijaribu kuzinusuru jamii zake kutumia mitandao hiyo
Nchi ya China ikiwa mstari wa mbele imefanikiwa kudhibiti kwa kiwangio kikubwa matumizi ya twitter na Face book na hivyo kutoa fursa kwa wananchi wa anchi hiyo kutumia mitandao iliyotengeneswa na wachina wenyewe
Hapa Tanzania kuna zaidai ya watu 600,000 wanaotumia mtandao wa kijamii wa face book huku watu laki moja wakiwa wamejiumga katika mtandao wa Jamii forums unaotajwa kuwa maarufu nchini na Afrika mashariki hii inaashiria kuwa tunaweza kabisa kuachana na vitu vilivyobuniwa ulaya na Marekani na kutumia vya kwetu.
Ni katika kuzingatia hilo mtandao wa kijamii wa mambopoint umetengenezwa pamoja na kumpa mtumiaji uhuru wa kuchati na marafiki, kuweka picha za mnato na video,na kutoa wazo jipya (update status) mtandao huu umehakikisha usalama wa mtumiaji unaimarishwa.
Sambamba na hilo umezingatia mahitaji ya Ajira hasa kutokana na ukweli kwamba watanzania wanaotumia mitandao ya kijamii wengi wao ni vijana hivyo ni muhimu fursa za kuona nafasi mbalimbali za kazi zinazotangazwa kilasiku.
Bofya hapa kujiunga mambopoint.com uwe miongoni mwa watanzania wa kwanza kufurahia mafanikio ya watanzania na hivyo Kuwa mzalendo kwa kupenda vya nyumbani.
at 6:52 am
UTALII WA NDANI.
Wapendwa wasomaji wa Blog hii, nawasalimu kwa upendo.
Nikiwa mdau wa kazi za Utalii Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla, nawakaribisha kutembelea mbuga za wanyama, kupanda mlima Kilimanjaro, na kutembelea maeneo ya mwambao wa Pwani (Beach Holidays), Honey Moon, picnic za ufukweni, kusafiri kwa ndege, barabara, n.k. kwa bei nafuu.
Tunawaachia watalii wageni peke yao kufaidi uzuri wa asili wa nchi yetu na nchi zingine za Afrika, sisi wenyewe hatuzifaidi.
Furahia maisha na familia yako, marafiki, ndugu na jamaa kwa gharama zilizo kwenye uwezo wako.
Kwa yeyote atakayekuwa tayari, awasiliane nasi ili tumwandalie kifurushi chake. Kwa mfano, unaweza ukasema, “mimi ninataka kufurahi kwa siku 5, na napendelea kwenda kuona makumbusho na kupata upepo wa pwani. Tutakuwa watu wanne na watoto wawili. Tungependa kulala kwenye hotel za bei nafuu (au za hali ya juu). Iwe kuanzia tarehe…..” Hapo utakuwa umetupa mwangaza wa maeneo ambayo mngependa kutembelea na uwezo mlionao kifedha. Tutakuandalia kifurushi chako, chenye aina mbili au tatu ili uchague kitakachokufaa zaidi. Kisha tunakupa utaratibu kamili. OMBI: Ututumie mpango wako angalau wiki 3 kabla ya safari, ili tuweze kuhakikisha kupatikana na booking za malazi na usafiri mzuri bila matatizo.
Tuandikie kwa email ili tupate haraka kama ifuatavyo:-
Meneja,
KSTT Ltd,
P.O.Box.10941, Dar es Salaam.
Email: kilimanjaroserengeti@yahoo.com
Tel: +255 713 520106
+255 754 264906
+255 787 264906
Moshi: Tel: +255 715 208283
+255 755 208283
KARIBUNI SANA.
at 12:01 pm
sawa
at 3:14 pm
gari la maji machafu la manispaa mwezi mzima sasa halina dizeli kisa waulize viomgozi wa manispaa, mji sii utanuka?
at 3:17 pm
sisi wafanyabiashara za malazi tutafanyaje kazi, gari la maji taka linakosaje mafuta wakati linaingiza mamilioni?
at 5:38 pm
make business
at 5:39 pm
let us be in contact
at 1:55 pm
Kwakweli Miliard na kupa pole sana kwayaliyo wahi kuKUkuta ila zidi kuyachukulia kama changa moto na pia ninaona nami nibora nifunguke na huu ndio ukweli wangu;miongoni mwa watangazaji wananivutia kwenye fani hii ni wewe na ninaamini SIKU MOJA NITAKUFIKIA
at 4:47 am
It’s a fact: more people find out about your business on Facebook or Twitter than on search engines. Making these sites work maybe tricky for you, but it’s business as usual for us. Let us improve your visibility and enhance your image. It’s part of our complete Internet Marketing package. We’ll be more than your friends — we’ll be your partners.
at 6:55 am
kuna idea ni ya website nataka nitume kwa mkurugenzi vp mnaweza kunipa emailcontact zake
at 8:20 am
We can do it in $ 99 per month
at 2:16 pm
maji mji mzima ni dhki ewe mbunge wetu unajua nini mradi wa maji ulio fadhiliwa na OPEC blioni 15???????
at 11:32 am
Dear Admin, hapo juu kuna matangazo, hilo la tatu la Baypot wakopeshaji je wapo? simu zao hazipatikani kabisa.
at 4:45 pm
Thanks,work hard mnakwenda vizuri
at 6:15 am
MTANDAO WA KITANZANIA KUBADILI MATUMIZI YA MITANDAO
Kufuatia mitandao ya kijamii ya Kimaghaibi kutozingatia usalama wa masuala binafsi ya mtumiaji mataifa mbalimbali yamekuwa yakijaribu kuzinusuru jamii zake kutumia mitandao hiyo
Nchi ya China ikiwa mstari wa mbele imefanikiwa kudhibiti kwa kiwangio kikubwa matumizi ya twitter na Face book na hivyo kutoa fursa kwa wananchi wa anchi hiyo kutumia mitandao iliyotengeneswa na wachina wenyewe
Hapa Tanzania kuna zaidai ya watu 600,000 wanaotumia mtandao wa kijamii wa face book huku watu laki moja wakiwa wamejiumga katika mtandao wa Jamii forums unaotajwa kuwa maarufu nchini na Afrika mashariki hii inaashiria kuwa tunaweza kabisa kuachana na vitu vilivyobuniwa ulaya na Marekani na kutumia vya kwetu.
Ni katika kuzingatia hilo mtandao wa kijamii wa mambopoint umetengenezwa pamoja na kumpa mtumiaji uhuru wa kuchati na marafiki, kuweka picha za mnato na video,na kutoa wazo jipya (update status) mtandao huu umehakikisha usalama wa mtumiaji unaimarishwa.
Sambamba na hilo umezingatia mahitaji ya Ajira hasa kutokana na ukweli kwamba watanzania wanaotumia mitandao ya kijamii wengi wao ni vijana hivyo ni muhimu fursa za kuona nafasi mbalimbali za kazi zinazotangazwa kilasiku.
Bofya hapa kujiunga mambopoint.com uwe miongoni mwa watanzania wa kwanza kufurahia mafanikio ya watanzania na hivyo Kuwa mzalendo kwa kupenda vya nyumbani.
at 6:38 pm
Hivi hawa china wanakuja kwa mazuri au kuna mishe wanazifuata?
at 5:49 pm
wtanzamia tuungane tushirikiane tusibaguane tuwe kitu kimoja.